

Nchimbi alijiunga ba klabu ya Yanga katika dirisha la Januari akitokea Polisi FC. Msimu wa 2018/19 aliifungia klabu hiyo mabao manne, na msimu huu wa 2019/20 aliifunga Polisi Fc bao nne kabla kujiunga na Yanga Sc.
Nchimbi alikuwa pia Galacha wa Magoli mwezi Oktoba aliifugia klabu yake mabao matatu (Hat-Trick) aliyowafunga Yanga.
- Name
- Ditram Nchimbi
- Utaifa
Tanzania
- Nafasi
- Mshambuliaji
- Sasa
- Yanga SC
- Zamani
- Polisi Tanzania, Njombe Mji, Mwadui FC, Azam FC
- Ligi
- TPL
- Misimu
- 2017-2018, 2018-2019, 2019-2020, 2020-2021