Sambaza....

Live

3 - 04:00 pm
Simba SC
    Mwadui FC

      Mwadui fc wapo katika hatihati ya kushuka daraja huku wakitoka kupoteza mchezo dhidi ya Yanga wanakwenda kukutana na Simba inayotafuta alama 13 tu ili kutangazwa mabingwa. Mwadui f ndio timu ya kwanza msimu huu kuifunga Simba walipolitana katika mchezo wa raundi ya kwanza.

      vs

      Matokeo

      TimuMagoli
      Simba SC3
      Mwadui FC0

      Sambaza....